Majarida ya Taaluma
Chuo Kikuu cha Taaluma za Kimataifa cha Shanghai kinahariri na kuchapisha majarida 12 yanayohusu taaluma ambayo ni muhimu sana na bali na kusifika sana yanasomwa na kujadiliwa sana na wasomaji wake. Miongoni mwao ni, Jarida la Lugha za Kigeni (Journal of Foreign Languages), linalofadhiliwa na Shirika la Sayansi la Kitaifa, ambalo ni jarida la kipekee la masomo ya lugha kati ya "Majarida 30 ya Kisayansi na Kijamii" nchini China.
1 |
Jarida la Lugha za Kigeni |
ISSN: 1004-5139 |
2 |
Ulimwengu wa Lugha za Kigeni |
ISSN: 1004-5112 |
3 |
Elimu ya Lugha za Kigeni kwa Kutumia Kompyuta |
ISSN: 1001-5795 |
4 |
Fasihi Linganishi nchini China |
ISSN: 1006-6101 |
5 |
Marejeleo ya Kimataifa |
ISSN: 1005-4812 |
6 |
Masomo ya Nchi za Kiarabu |
ISSN: 1673-5161 |
7 |
Masomo ya Mashariki ya Kati na Uislamu (Barani Asia) |
ISSN: 1937-0679 |
8 |
Masomo ya Fasihi za Uingereza na Marekani |
ISBN: 7-81046-712-3 |
9 |
Tafsiri za Mashariki |
ISSN: 1674-6686 |
10 |
Ufundishaji na Utahini wa Lugha za Kigeni |
CN: 31-2047/G4 |
11 |
Sera ya Lugha na Elimu ya Lugha |
ISBN: 9787100114851 |
12 |
Ufundishaji wa Kifaransa nchini China |
ISBN:9787552010251 |
13 |
Masomo ya Kuzinduliwa Upya kwa Barabara ya Biashara ya Hariri |
ISBN: 9787520109512 |