Taasisi na Idara

Chuo Kikuu cha Taaluma za Kimataifa cha Shanghai kinawahimiza walimu na wanafunzi kufanya utafiti kwa uhuru na uvumbuzi. Tuna taasisi na idara za utafiti wa taaluma zaidi ya kumi. Watafiti wetu wana bidii na hawasiti kuongoza katika taaluma zao. Zaidi ya hayo, ili kuendeleza ustadi wa mafunzo na kuzidisha maendeleo ya utafiti, idara nyingi zimeanzisha taasisi maalumu za taaluma husika.

Taasisi na Idara Muhimu

Taasisi ya Kitaifa ya Taaluma za Wanadamu na Elimujamii

Taasisi ya Mafunzo ya Mashariki ya Kati

Taasisi ya Utafiti ya Tume ya Lugha

Kitovu cha Utafiti wa Mikakati ya Lugha za Kigeni

Taasisi ya Utafiti Iliyoundwa kwa Ushirikiano na Wizara ya Mambo ya Kigeni

Taasisi ya Utafiti wa Marekebisho na Maendeleo baina ya China-Arabuni

Kitovu cha Taaluma za Ushirikiano wa Kimataifa

Taasisi ya Kitaifa ya Masomo ya Kikanda na Kitaifa

Kituo cha Masomo ya Uingereza

Kituo cha Masomo ya Umoja wa Ulaya

Kituo cha Masomo ya Kirusi

Taasisi ya Utafiti Iliyoundwa kwa Ushirikiano wa Kituo cha Habari cha Usimamizi wa Elimu cha Wizara ya Elimu

Kituo cha Utafiti wa Teknolojia za Elimu za Kimataifa

Taasisi ya Kitaifa ya Taaluma za Watu na Elimujamii

Kituo cha Utafiti wa G20

Taasisi ya Taaluma za Uvumbuzi wa Elimujamii cha Shanghai

Kituo cha Utafiti wa Diplomasia ya Kitamaduni Soft Power

Kitovu cha Utafiti wa Utamaduni wa Kikanda

Taasisi ya Utafiti Iliyoundwa kwa Usirika wa Kitovu cha Utafiti wa Maendeleo ya Manispaa ya Shanghai

Kitovu cha Utafiti wa Sera za Tamaduni za Kimataifa

Kitovu cha Utafiti wa Kijamii Shanghai, Tawi la SISU

Gawanya: